Machozi Katika Kiriba

Machozi Katika Kiriba
KSh100.00
BUY NOW

Amina alikuwa kigoli aliyelelewa akaleleka. Hata hivyo, hali yake ilibadilika alipojiunga na chuo kikuu. Alijipata amefanya urafiki na Oduor, jambo lililosababisha machozi na kilio kisichokuwa na mwisho. Soma hadithi kwa undani ujue mambo yalivyoenda.

Reviews

There are no reviews yet. Be the first person to review this product.